Jeshi la Polisi nchini Kenya limeendelea kuwakamata watu mbalimbali ambao wanahusishwa na vuguvugu la ukombozi katika eneo la Pwani.
Mombasa Repulican Council leo hii (24.10.2012) ilipaswa kutekelezwa kwa kamishna wa haki za kibinaadamu wa taasisi ya Kiislamu ya mjini Mombasa Mihuri Khalid Hassan, ambapo siku chache zilizpopita alikamatwa mwenyekiti wa vuguvugu hilo MRC Omar Mwamduwadzi
Kutoka nchini Kenya Sudi Mnette alizungumza na mwanaharakati wa haki za binadamu Okiya Omatata Okoiti ambapo kwanza alimuuliza anazungumziaje vitendo hivyo vya polisi.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Oummilkheir Hamidou